Monday, June 30, 2014

SUARES AKIRI KUNGATA, AOMBA RADHI


Montevideo, Uruguay

MCHEZAJI, Luis Suarez ameomba radhi kwa beki wa Italia, Giorgio Chiellini, baada ya kumng’ata katika fainali za Kombe la Dunia siku waliyocheza na timu hiyo kuitupa nje Italia katika fainali hizo zinazoendelea nchini Brazil.

Mshambuliaji huyo wa Uruguay, amefungiwa miezi minne na mechi tisa na Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), baada ya tukio hilo.

   Awali mchezaji huyo alikataa kata kata kumng'ata beki huyo lakini jana amekubali jambo hilo ambalo hata hivyo baadhi ya watu wanadai amelazimishwa kufanya hivyo.
        Katika maelezo yake aliyoyatoa katika mtandao wa Twitter, Suarez, aliandika: “Baada ya kuwa nyumbani siku kadhaa na familia yangu, nilikuwa na nafasi ya kukumbuka yaliyotokea katika mechi yetu na Uruguay. Najuta kwa kile nilichofanya.”
      “Naomba msamaha kwa Giorgio Chiellini na wapenda soka wote. Naapa kwa jamii kuwa sitarudia tena tukio kama hilo.”
        Lakini kabla ya kuomba msamaha, Rais wa Uruguay, Jose Mujica, aliitukana FIFA kutokana na kifungo hicho cha miezi minne na mechi tisa cha Suarez.

2014 BET AWARDS

 Couples Galore Hit The Red Carpet

 photo KevinHartBETAWARDS14Arrivalswq--asq4xWHl_zps30c10c20.jpg
Mr. Box Office -- his new name we're going with after Chris Rock ponted out this dude is in EVERY movie in theaters -- Kevin Hart and his girl Eniko had some fun on last night's BET Awards 2014 red carpet.  Check out the twosome and the rest of the couples getting wrapped up in love inside...
Meek Mill had jokes Sunday night as he scrunched down to snap a pic next to Kevin & Eniko.  Ha!
 photo BETAWARDS14ArrivalsofokWhXTy6Bl_zps07131971.jpg
Eniko Parrish rocked a sexy black lace dess with laser cut heels while on the arm of a green plaid suit-rocking Kevin Hart.  The TLAM2 star was there to present an award with Kerry Washington.
 photo BETAWARDS14ArrivalshSk1TDlZMlDl_zps28bb16a7.jpg
Clippers baller Chris Paul made a statement in a cobalt blue dinner jacket, while his wife Jada kept it sassy in this tulip skirt and crop top.
 photo BETAWARDS14ArrivalsCtqn1d0b5fQl_zps41891fd9.jpg
Taye Diggs is ready to go full-on public with his new chick.  He made his first red carpet appearance with girlfriend Amanza Smith Brown at last night's awards.  Looks like things are heating up for these two....

 photo BETAWARDS14Arrivalsu1yCZPTjGiyl_zps095417a7.jpg
Judge Joe Mathis (who is responsible for getting KeKe Palmer her own talk show) and his wife Linda cheesed it up on the red carpet.
 photo BETAWARDS14ArrivalsPXcNFULv88Jl_zpsdd449259.jpg
Tommy Lee Davidson and his date for the night hit the carpet.

 photo BETAWARDS14Arrivalsh0UpeQ4ezVSl_zps51532c22.jpg
Larenz Tate, who is starring in BET's upcoming original series "Gun Hill", hit the carpet with wife Thomasina.  Cute!

 photo BETAWARDS14ArrivalsO1NppkstVhUl_zps264cc818.jpg
Floyd Mayweather appeared unbothered about his ex-fiancée moving on with Nelly.  He hit the carpet before presenting on stage in a grey Dolce & Gabbana suit and sparkling Hermes belt with his new chick of the moment.

 photo BETAWARDS14ArrivalsLCAltt7kvlzl_zps011cb39a.jpg
Hilarous TLAM2 star Gary Owen had his grogeous wife Kenya on his arm Sunday night.
 photo BETAWARDS14ArrivalsjYc6f6LViNql_zpsc5cd2c51.jpg
Dad-to-be Omarion brought his fiancée Apryl Jones on the carpet to flaunt that baby bump.  Glad she didn't wear anything like she wore at her baby shower.
 photo BETAWARDS14Arrivalsibq1v6RCN-Bl_zpsfad6c277.jpg
Erica Campbell and her husband Warryn Cambell hit the carpet together.  Erica revealed she had a wardrobe malfunction right before the awards, so her sister (her stylist) copped this knit dress as an emergency.
 photo BETAWARDS14ArrivalsHPwITNMdGixl_zps3b94c89f.jpg
Kevin Liles and wife Erika are expecting baby #2 together.

 photo BETAWARDS14ArrivalsGt5TK7A7eJKl_zps1139ecf9.jpg
Kyla Pratt's nude Louboutin lace up laser-cut Impera heels don't even save this dress.  But we're sure her man loves her anyway.
 photo BETAWARDS14Arrivalsg5PjTS1DVScl_zpsb64b2529.jpg

Draya Michele, who co-starred on "Real Husbands of Hollywood", is still holding on as Dallas Cowboys baller Orlando Scandrick's girl.  Chick is determined to become a wife.  And that's not a bad thing.
 photo BETAWARDS14Arrivals7Ec1s8Uy84Dl_zps630c1839.jpg
And Fonzworth Bentley and wife Fuane Chambers looked like a dapper couple on the carpet.  Cute.
 photo CobyBellBETAWARDS14ArrivalsZw-6A_VyCSPl_zpsdc41d0f0.jpg
And yes, we know, they're not a real life couple. But we're still loving Jason & Kelly Pitts from "The Game".  Brittany Daniel, rocking a dress from Bec and Bridge", revealed on the BET Awards After Show that the original Mrs. Pitts is indeed returning next season.  And the love triangle drama with Brandy and Coby Bell (Chardonnay and Jason) will be at an all time high. credit to theybf

DAVIDO MSHINDI BEST INTERNATIONAL ACT. AFRIKA, BET



MSANII kutoka Nigeria Davido ameshinda tuzo ya ‘Best International Act. Afrika’huku swahiba wake Diamond akikosa tuzo hiyo lakini amejipatia umaarufu mkubwa kutoka kwa mashabiki wake kote duniani baada ya kufika hatua ya juu na kuweka historia kwa kuwa mwakilishi pekee wa Afrika Mashariki kwa mwaka 2014.
Davido akiwa na tuzo yake

    Wasanii walioshindania tuzo hiyo ni Diamond Platnumz (Tanzania), Davido (Nigeria), Mafikizolo (Afrika Kusini), Sarkodie (Ghana),
Tiwa Savage (Nigeria) na Toofan wa (Togo).
Baada ya tuzo hizo, Davido aliandika kwenye ukurasa wake wa ‘Instagram’ alishukuru mashabiki wake na kuelezea furaha yake kwamba wamepata tuzo hiyo.
     Diamond kupitia ukurasa wake wa ‘Instagram’ alisema nanukuu; “Kupata fursa ya ‘kushare treatment', ‘kunetwork’ na kubadili ‘ideas’ na wasanii ambao ulikuwa ukiwaona tangu mtoto, unakua na tangu unaanza muziki haujui utoke vipi... kiukweli ni jambo ambalo linatia moyo na nguvu sana ili uzidi kupambana zaidi, kesho na kesho kutwa, tasnia yetu nasi ifike kwenye kilele... ‘Das me and my Boy Nelly at the @betawards red carpet’... Wenyewe wa uswazi tunamuitaga "Nelly I love you" Mzee wa plasta’’ ulieleza ujumbe huo ulioambatana na picha ya Diamond akisalimiana na msanii wa Marekani Nelly.
Diamond akiwa na Nelly 
     Hata hivyo utoaji wa tuzo hizo umewakera  watanzania wengi kutokana na kutokuwa na mpangilio mzuri huku tuzo zikitolewa tofauti na utaratibu uliozoeleka kwenye tuzo mbalimbali ikiwemo MTV base.
     Hata hivyo baadhi ya watu wameponda utaratibu wa tuzo ulivyokuwa ukitolewa kwa baadhi ya wasanii kuonekana jukwaa kuu huku wengine wakiishia backstage na wengine wakionekana kushika tuzo zao.

USINIJADILI NI MAVAZI TU

 Muigizaji wa Nigeria, Mimi kwenye ZIFF

NAWAKILISHA FAST JET

 Lucy Mbogoro

 Naitwa Lucy Mbogoro ni PR&MARKETING EXCECUTIVE AT fastjet
Lucy Mbogoro

MWENDO WA CONNECTION

 Rich Rich na mtaalamu mmoja wa masuala ya filamu kutoka nje wakibadilishana mawazo
Msanii wa Nigeria, Mimi na Mdau mwingine wa masuala ya Filamu wakibadilishana mawasiliano

NAOMBA TUPIGE PICHA JAMANI

Ahaaaa! nimepiga picha na Shamsa Ford am Happy now star wa ukweee! alisema dada huyo aliyefahamika kwa jina la Lucy mara baada ya kuangaika kumsaka Shamsa Ford kwa lengo la kupiga naye picha alipompata roho yake ikawa kwatu, ahaaa safi sana katimiza ndoto zake za kupuiga picha na Shamsa Ford.

 He! Jamani Zamaradi naomba tupige picha na wewe mimi Modo wa Zanzibar!

Kama mapacha wa familia tofauti

Ni picha tu Jamani tusitafutane

Friends Forever, nasi tulikuwepo mnatuonaje?

Du! Eti dada Mnigeria, anaitwa Mimi naye alitamani muda mrefu kupigapicha na J.Silk mtangazaji wa TBC kipindi Ulimwengu wa Filamu.


UREMBO ZANZIBAR SI UHUNI, WAZEE WANENA



TAMASHA la ‘Zanzibar Fashion Gala’ limefanyika Visiwani Zanzibar kwa mafanikio makubwa baada ya kukubaliwa na wazee wa Visiwani humo kwamba fashioni siyo uhuni kama inavyodhaniwa na wengi.
Mratibu wa Tamasha hilo, Titi alisema ilikuwa kazi kuwafanahamisha wazee kuhusiana na maonyesho hayo ya urembo, hadi walipowaelezea faida ya urembo kwa msichana wa Zanzibar kwamba anajitengenezea ajira na mambo mengine mengi.
      Titi alisema dhunini la onyesho hilo lililofanyika katika fukwe za bahari ni kuboresha fani ya ubunifu wa mavazi visiwani Zanzibar pamoja na kuvionyesha na kuvikuza vipaji vya wasichana wa Zanzibar .
Mengine ni kutoa ajira kwa wasichana warembo, kuwafundisha nidhamu, kuwajengea kujiamini na wajielewe ili wasijihusishe na matendo mabaya yatakayowaharibia maisha yako.


 


Monday, February 18, 2013

ASKARI WANYAMAPORI WAUA SIMBA ALIYEKULA MBUZI 47

 MOROGORO


Wakazi wa kijiji cha Bagilo kata ya Kinole halmashauri ya wilaya ya Morogoro wakiwamwangalia simba aliyeuawa na askari wa wanyamapori wa halmashauri hiyo baada ya simba huyo kukamata na kuua mbuzi 47 katika vijiji vitano tofauti vya tarafa ya Mkuyuni mkoani hapa jana. 
Mwanablog Juma Mtanda akimkagua Simba huyo mara baada ya kufikishwaa katika ofisi za Maliasili mkoani Morogoro muda mfupi kabla ya kuchunwa ngozi.
Afisa wanyamapori halmashauri ya wilaya ya Morogoro, Iddi Ndabagenga akimkagua simba huyo.
Askari wa wanyamapori wa halmashauri ya wilaya ya Morogoro Abdallah Mayingi kushoto na Jontas Sume kulia ndiyo waliohusika katika zoezi la kumua simba huyo.
Hapa zoezi la kumchuna ngozi likiufanyika katika ofisi za maliasili Morogoro