| Khadija Omari Kopa akiwa na wacheza Show wake kwenye tamasha la Tigo Music, lilifanyika usiku wa Jumamosi ya Jan 24 mwaka huu. |
| Mze Bichuka wa Sikinde nae alibichuka vilivyo! |
| Juma Katundu wa Msondo Ngoma nae akateremsha Msondo wa NGUVU. |
| Wakirithi mikoba ya Kina Mze Gurumo na TX Moshi William! |
| Romario na Totoo ya Moshi, TX JR (kulia). |
| Mashabiki nao hawakua nyuma ya Pazia, walikaa mbele ya Pazia! |
| Nivue ni sivue! vuaaaaaaa! Aaaaaaa nivuee eeeee! |
| Waowwwwwwwwww! |
| Ebanaeeeeeeee! simchezooo! |
| Miduduuuuuuuu! |
| Hawa ni wa Mashauzi Classic Twaaaarab Band! |
| Daktari Fenera Mukangara Waziri wa Habari Vijana Utamaduni na Michezo aliungana na vijana kwenye tamasha hilo na lililokutanisha wasanii Kibaoooo! |
| Wasanii msikubali kuzinguliwa kwenye mikataba muwe makini mnaposaini, msome kwanza then ndio mnasaini. |
| Malaika Band Kazini. |
| Twende kaaaaaaz! |
| Hata bila Bella tunaweza! |
| Siunaoona! |
| Bela na Yamoto Band, Kachumbali imewekwa achali, unaonaje hapo! |