Monday, January 26, 2015

WASANII WALIPOTUMBUIZA TIGO MUSIC!


Khadija Omari Kopa akiwa na wacheza Show wake kwenye tamasha la Tigo Music, lilifanyika usiku wa Jumamosi ya Jan 24 mwaka huu.

Mze Bichuka wa Sikinde nae alibichuka vilivyo!
Juma Katundu wa Msondo Ngoma nae akateremsha Msondo wa NGUVU.
Wakirithi mikoba ya Kina Mze Gurumo na TX Moshi William!
Romario na Totoo ya Moshi, TX JR (kulia).
Mashabiki nao hawakua nyuma ya Pazia, walikaa mbele ya Pazia!
Nivue ni sivue! vuaaaaaaa! Aaaaaaa nivuee eeeee!
Waowwwwwwwwww!
Ebanaeeeeeeee! simchezooo!
Miduduuuuuuuu!
Hawa ni wa Mashauzi Classic Twaaaarab Band!
Daktari Fenera Mukangara Waziri wa Habari Vijana Utamaduni na Michezo aliungana na vijana kwenye tamasha hilo na lililokutanisha wasanii Kibaoooo!
Wasanii msikubali kuzinguliwa kwenye mikataba muwe makini mnaposaini, msome kwanza then ndio mnasaini.
Malaika Band Kazini.
Twende kaaaaaaz!
Hata bila Bella tunaweza!
Siunaoona!
Bela na Yamoto Band, Kachumbali imewekwa achali, unaonaje hapo!






























Sunday, October 5, 2014

KEM KEM KWA UJUMLA


I now know that when they call it Lifestyles of the ‘Rich and Famous’ they were not exaggerating on the ‘rich’ part. He’s been known to turn up and turn up proper whether it’s in the quality of his music videos or in how he leads his life.

Wiz Khalifa, Iggy Azalea, Cee Lo Green

Wiz Khalifa leaves Los Angeles International Airport
Newly single rapper Wiz Khalifa hangs his head as he leaves Los Angeles International Airport (LAX) in Los Angeles on Thursday. Friends say Khalifa is having a difficult time holding it together after his estranged wife, Amber Rose, filed for divorce. Wiz is telling friends he now knows she cheated on him with multiple partners men and women. A friend tells Sandrarose.com, “He knew she was a whore when he met her, but he thought he was in love.”
Photos: WENN.com

Patient With Ebola Symptoms in Washington D.C.

Ebola Patient
A patient who recently traveled to the U.S. from West Africa is being treated for Ebola-like symptoms at Howard University Hospital in Washington D.C.
NBC Washington reports that a patient was admitted to the hospital in stable condition on Thursday. The patient is being kept in strict isolation until test results come back.

Amber Rose, Jessica Alba

Newly single Amber Rose flees to the salon for mani-pedi in Los Angeles***NO DAILY MAIL SALES***
Newly single Amber Rose was spotted getting a mani-pedi at the salon in Los Angeles today. Rumor has it that Amber was kicked to the curb by her “sponsor” Nick Cannon.

Rick Ross f/ R. Kelly, That (Rich Chick)’ Keep Doin' That (Rich Bitch)

Keep Doin' That (Rich Bitch)
Rick Ross reunites with R. Kelly on “Keep Doin’ That (Rich Chick),” the first official single off his seventh album Hood Billionaire. Rozay talks dirty, while Kellz seduces the ladies with his money and charm.
“My Penélope Cruz, I let her meet my connects,” he croons over the trickling piano keys.
The fellas recently shot a video for the song in Atlanta.
Hood Billionaire arrives November 24 featuring the Project Pat-assisted street single “Elvis Presley Blvd.”

Aaliyah Biopic Trailer Debuts Featuring Iggy Azalea Soundtrack

Alexandra Shipp
Lifetime’s Aaliyah biopic has been marred by controversy, and it’s about to get even stranger. The network has revealed the first trailer for the Aaliyah biopic Aaliyah: The Princess of R&B set to the sounds of Iggy Azalea. The Aussie rapper’s song “Goddess” plays between scenes from the made-for-TV movie, executive produced by Wendy Williams.
The 30-second spot gives us a first glimpse of Alexandra Shipp in the role of the late singer.
If you’re wondering why Aaliyah’s music wasn’t used in the trailer, that’s because Lifetime wasn’t allowed to license her catalog.
Zendaya Coleman was originally cast in the role of Aaliyah, but dropped out after backlash.
Aaliyah: The Princess of R&B premieres Saturday, November 15, at 8 p.m. Get a first look below.


BTS - Rick Ross, R. Kelly, Jessica White & More On “Keep Doing That (Rich Chick)” 

 photo kdt1.png
Rick Ross and R. Kelly have teamed up for new visuals for their track “Keep Doing That (Rich Chick). And we have the behind-the-scenes pics. Plus, Kendrick Lamar popped up during Prince’s album release concert at his Paisley Park studio. Get your music fix inside…

Tiwa Savage, Hubby, Shut Down Break Up Rumours

Click for Full Image Size 
For the past few days, social media and news website has been buzzing with rumours that pop diva Tiwa Savage

Thursday, July 3, 2014

USINIPIGE PICHA BANA

Banaaaaa! usitupige picha mi nampongeza tu kwa kuzoa tuzo mbili
Kallage unamuona yule nimemwambia asitupige picha yeye kapiga hayaaaa! mi simooooo!
Au nimpe na simu yangu atupige vizuri mh! ila hapa Bongo akiondoka nayo ahaaaa! Mimi kutoka Nigeria na wadau wengine wa sanaa ya filamu ZIFF hiyo.
He! mwanga umetokea wapi?
Oya! muone yule anatupiga picha, kule katupiga picha na huku katufuata wakati tunatazama filamu kwa raha zetu, huyo jamaa anayepiga simu hapo akaja juu oya! kwa nini unatupiga picha, nishakuona tangu kule wewe wa gazeti la udaku siyo wa ZIFF maneno mengi yakamtoka Nikajiuliza maswali mengi lakini sikupata connection na watu wa magazeti pendwa ili wamchunguze huyu jamaa alikuwa anajifucha nini asipigwe picha wakati alikuwa karibu na dada huyu staa kwenye bongo filamu.
     Lengo letu lilikuwa kuwaonyesha mashabiki wa msichana huyo wa Bongo Dsm kwamba yupo na wakati huo alikuwa Zenji, Ngome Kongwe katika utoaji wa tuzo za ZIFF, ila huyu jamaa wala hatumjui ila ilikuwa ngumu kumkwepa wakati alikuwa karibu muda mrefu na dada huyu alafu naye anakamera na alikuwa akipiga picha watu maarufu sasa nikapata shaka yeye anaogopa nini au aliokuwa akiwapiga picha aliwaomba kwanza ruhusa ndipo aliwapiga kama alivyotaka yeye.

Wednesday, July 2, 2014

BALOZI WA LIPYA TANZANIA AJILIPUA KWA RISASI

BALOZI Msaidizi wa Libya nchini anadaiwa kufariki dunia baada ya kujipiga risasi mwenyewe majira ya saa saba usiku katika chumba cha ofisi za ubalozi huo.

Inadaiwa wananchi wanaoishi karibu na ubalozi huo walisikia mlio wa risasi uliotokea chumbani kwake lakini walipotumia nguvu kufungua mlango huo walikuta balozi huyo akiwa katika hali mbaya na baada ya kumkimbiza hospitali alifariki dunia.

  Kwa taarifa zaidi tutawaletea hapa hapa pitia mara kwa mara uone mwendelezo wa taarifa hii

JAY Z, BEYONCE & BLUE IVY

Exclusive - Jay-Z & Beyonce Take Blue Ivy Shopping In The Hamptons
Jay Z and Beyonce were spotted shopping with their daughter Blue Ivy at Ralph Lauren Kids in East Hampton, NY, on Monday, June 30. Jay-Z carried Blue Ivy in his arms while Beyonce walked ahead of them. The 34-year-old singer wore a bowler hat, sunglasses and a t-shirt that reads ‘London, New York, Paris, Milan’. Jay Z’s dramatic weight loss is evident in these photos. The couple is rumored to be divorcing at the end of their 18-date On the Run Tour.

Tuesday, July 1, 2014

BE CAREFUL WITH MY HEART - RICHARD WIVU TUPU KWA MAYA





TAMTHILIA ya ‘Be Careful with my Heart itaendelea leo usiku kwa kumuonyesha Rafi na Charlie, na baada ya kuvishana pete wanaonekana kutokuendelea kuishi katika nyumba ya Lim.
     Lakini wakiwa wanajiandaa kuondoka katika nyumba hiyo, Maya, na watu wengine katika nyumba hiyo wanapanga kumfanyia sherehe ya kumuaga Rafi na Charlie.
     Katika sherehe hiyo, wakapanga wawe wawili wawili ili kuvutia tafrija hiyo lakini kila mmoja anapata wa kucheza naye isipokuwa Maya anajikuta akiwa peke yake.
     Maya baada ya kujiona yupo peke yake anasema hajali kuimba akiwa peke yake lakini licha ya hivyo wimbo wa Maya unatakiwa uimbwe na watu wawili kutokana na sauti ya kike na ya kiume.
        Anaanza kuimba kwa hisia kubwa, inawagusa watu wote akiwemo Richard. Lakini licha ya yote anapatwa na mshangao, baada ya kusikia sauti ya kiume ikiimba tena ni ya Richard, lakini sauti hiyo ilikuwa inaimba kwa kutokwenda na biti jambo lililozua kicheko zaidi.
       Wakiwa wanaelekea uwanja wa ndege, Rafi anampigia Richard anamtaka amwahidi kama atampigia simu kama atampata msichana atakayempenda tena kama ilivyokuwa kwa marehemu mke wake.
      Richard anakubaliana na hilo huku akitabasam mwenyewe. Baada ya muda, Kutengana kwa Cristina Rose (kute) na mtoto wake kunazua matatizo makubwa tofauti na alivyokuwa akifikiria awali.
      Hali hiyo inamfanya azungumze na viongozi wake huku akiwaeleza kwamba anapenda kufanyakazi katika meli aamini kama mtoto wake anaweza kukua bila kuwa karibu yake.
       Maya anapanga tarehe ya kukutana na Simon lakini anapata simu kutoka kwa Richard akimuomba amsaidie kumtafutia Abby rafiki wa kucheza naye lakini Maya anapozungumza na Abby anamweleza kwamba ingawa hakuna michezo ya kuangushana lakini urafiki wao unaendelea kama kawaida.
       Lakini licha ya hayo anamwahidi Abby kwamba atamtafutia rafiki mara tu atakaporejea. Mara baada ya Maya kurudi nyumbani, Richard anajifanya kama hajali huku akionekana mwenye hasira.
     Maya anahofia hali ya upole wa bosi wake, anamuomba msamaha huku akimweleza kwamba hakutaka amsumbue kwa kuwa anakazi lakini ukweli ni kwamba aanacheza ‘gemu’ la karata katika kompyuta yake mpakato.
     Maya anamweleza Miss Fe kuhusu ukimya wa Richard. Miss Fe anamwakikishi kwamba Richard hawezi kuigiza vile kama amwofii Maya na maisha yake ya baadae. Maya anaonekana kufurahia jambo hilo kusikia Richard anamjali katika hilo.
     Siku ya pili asubuhi, Richard anasikia mazungumzo ya Maya na Simon. Simon anataka kuwachukua Cristina Rose na Maya hadi stendi. Maya anakubali lakini Richard anajitolea kuwachukua Maya na Cristina Rose hadi stendi huku akionekana mnyenyekevu kwao.


ARGENTINA NA UBELGIJI ZAFUZU ATUA YA MTOANO KOMBE LA DUNIA



USWISI ikiongozwa na Xherdan Shaqiri katika ushambuliaji imeshindwa kutamba mbele ya Argentina iliyoongozwa na Lionel Mess,ambayo imeifunga Uswisi kwa goli 1.
Uswisi ilikuwa na ukuta mgumu na mpira ulioeleweka lakini safu ya umaliiaji ilikuwa butu baada ya kukosa magoli mengi. Hata hivyo kipa alikuwa na uwezo mkubwa wa kuokoa michomo kutoka kwa washambuliaji wa Argentina akiwemo Maria na Messi.


        Wakati huo huo,  Marekani nayo imetupwa nje ya mashindano hayo na Ubelgiji, baada ya kufungwa magoli 2-1. Marekani walikuwa na bahati lakini hawakuitumia vizuri kwani walipata nafasi nyigi za wazi za kufunga lakini walishindwa kufanya hivyo.      
          Hatua inayofuatwa itaendelea Ijumaa baada ya kuwa na mapumziko ya siku mbili kwa timu zilizofuzu atua inayofuata kujipanga kwa mechi zao.


NIGERIA, ALGERIA NJE




BRASILIA, BRAZIL


TIMU ya soka ya Taifa la Nigeria imeaga fainali za Kombe la Dunia 2014, baada ya kufungwa mabao 2-0 na Ufaransa kwenye mchezo wa hatua ya 16 bora ya michuano hiyo inayoendelea nchini Brazil na Ufaransa imetinga hatua ya robo fainali.
    Kichwa la Paul Pogba dakika ya 78 ilififisha matumaini ya Nigeria kupata ushindi na kama haitoshi, Joseph Yobo alijifunga dakika ya pili ya muda wa dakika tano za nyongeza, na hivyo kuihakikishia Ufaransa tiketi ya robo fainali.
Kwa muda mrefu wa mchezo huo, kipa wa Nigeria, Vincent Enyeama – ambaye anakipiga katika klabu ya Lille ya Ufaransa, alifanya kazi ya ziada kuokoa michomo ya hatari ya Ufaransa, lakini kwa bahati mbaya alifanya kosa lililomzawadia bao Pogba, mchezaji wa zamani wa Manchester United ambaye kwa sasa anakipiga Juventus.
           Hadi dakika ya 77, Enyeama alikuwa shujaa wa Nigeria, akiwa ameokoa bao lililotokana na shuti la Mathieu Valbuena aliyetengewa mpira na Pogba.
       Nayo Algeria ilijikuta katika wakati mgumu wa kutolewa katika mashindano hayo baada ya kukubali kipigo cha mabao 2-1 dhidi ya Ujerumani.