Monday, June 30, 2014

USINIJADILI NI MAVAZI TU

 Muigizaji wa Nigeria, Mimi kwenye ZIFF

NAWAKILISHA FAST JET

 Lucy Mbogoro

 Naitwa Lucy Mbogoro ni PR&MARKETING EXCECUTIVE AT fastjet
Lucy Mbogoro

MWENDO WA CONNECTION

 Rich Rich na mtaalamu mmoja wa masuala ya filamu kutoka nje wakibadilishana mawazo
Msanii wa Nigeria, Mimi na Mdau mwingine wa masuala ya Filamu wakibadilishana mawasiliano

NAOMBA TUPIGE PICHA JAMANI

Ahaaaa! nimepiga picha na Shamsa Ford am Happy now star wa ukweee! alisema dada huyo aliyefahamika kwa jina la Lucy mara baada ya kuangaika kumsaka Shamsa Ford kwa lengo la kupiga naye picha alipompata roho yake ikawa kwatu, ahaaa safi sana katimiza ndoto zake za kupuiga picha na Shamsa Ford.

 He! Jamani Zamaradi naomba tupige picha na wewe mimi Modo wa Zanzibar!

Kama mapacha wa familia tofauti

Ni picha tu Jamani tusitafutane

Friends Forever, nasi tulikuwepo mnatuonaje?

Du! Eti dada Mnigeria, anaitwa Mimi naye alitamani muda mrefu kupigapicha na J.Silk mtangazaji wa TBC kipindi Ulimwengu wa Filamu.


UREMBO ZANZIBAR SI UHUNI, WAZEE WANENA



TAMASHA la ‘Zanzibar Fashion Gala’ limefanyika Visiwani Zanzibar kwa mafanikio makubwa baada ya kukubaliwa na wazee wa Visiwani humo kwamba fashioni siyo uhuni kama inavyodhaniwa na wengi.
Mratibu wa Tamasha hilo, Titi alisema ilikuwa kazi kuwafanahamisha wazee kuhusiana na maonyesho hayo ya urembo, hadi walipowaelezea faida ya urembo kwa msichana wa Zanzibar kwamba anajitengenezea ajira na mambo mengine mengi.
      Titi alisema dhunini la onyesho hilo lililofanyika katika fukwe za bahari ni kuboresha fani ya ubunifu wa mavazi visiwani Zanzibar pamoja na kuvionyesha na kuvikuza vipaji vya wasichana wa Zanzibar .
Mengine ni kutoa ajira kwa wasichana warembo, kuwafundisha nidhamu, kuwajengea kujiamini na wajielewe ili wasijihusishe na matendo mabaya yatakayowaharibia maisha yako.


 


Monday, February 18, 2013

ASKARI WANYAMAPORI WAUA SIMBA ALIYEKULA MBUZI 47

 MOROGORO


Wakazi wa kijiji cha Bagilo kata ya Kinole halmashauri ya wilaya ya Morogoro wakiwamwangalia simba aliyeuawa na askari wa wanyamapori wa halmashauri hiyo baada ya simba huyo kukamata na kuua mbuzi 47 katika vijiji vitano tofauti vya tarafa ya Mkuyuni mkoani hapa jana. 
Mwanablog Juma Mtanda akimkagua Simba huyo mara baada ya kufikishwaa katika ofisi za Maliasili mkoani Morogoro muda mfupi kabla ya kuchunwa ngozi.
Afisa wanyamapori halmashauri ya wilaya ya Morogoro, Iddi Ndabagenga akimkagua simba huyo.
Askari wa wanyamapori wa halmashauri ya wilaya ya Morogoro Abdallah Mayingi kushoto na Jontas Sume kulia ndiyo waliohusika katika zoezi la kumua simba huyo.
Hapa zoezi la kumchuna ngozi likiufanyika katika ofisi za maliasili Morogoro

Sunday, February 17, 2013

KIPINDI CHA DK RAHABU NA VIDONDA VYA TUMBO CHA STAR TV KINAVYOANDALIWA

 
 
 
HAPA ni ubungo plaza ambapo ndipo cliniki ya Rahabu Urlcers Clinic ilipo ambapo wagonjwa wa vidonda vya tumbo wanapatiwa tiba kupitia dawa ya Fiterawa na kupona ugonjwa huo kabisa. Dr. Rahabu Rubago anapatikana kwa namba 0784-338513, 0754-411119
 
Hapa nakuonyesha namna ambavyo kipindi cha Dk Rahabu na Vidonda vya tumbo kinavyoandaliwa hadi kurushwa kupitia televisioni ya Star tv
Bi shosti, mgeni siku hiyo mtized kutoka Uingereza, ambaye ni mwanablogerTina
Huyu alikuwa mtangazaji wa kipindi hicho pia ni mtangazaji wa kweli anafanya kazi na Chanel 10
Huyu alikuwa mpiga picha za mnato sijui kiswahili ni sawa zile za kutembea zile
Mitambo inaandaliwa hapa mapouda yanapakwa taa zinawashwa kila kitu kinawekwa sawa
Simu zinazimwa ama kutolewa sauti ili zisiingiliane na kurekodi
 
 
Ebana angalia hilo mic lako lisije likadondoka likatuchafua meen ahaaaaa!!
Liwachafue wapi subirini niwatengeneze muuze sura hizo, wekeni pozi niwafotoe
Ebana mi nafikiri tupo sawa tunaweza kuanza maana tushajiandaa vya kutosha
  Haya stand by, happy sirudii ahaaa!! Action
 Mahojiano yanakwenda maswali na majibu usikose kutazama Jumamosi hii ni hatari balaa kipindi kipo moto mbayaaa!!! 
 Kwa hiyo Uingereza alivyokuja watu wamepokeaje huko... 
 Ahaaa stop, kuna kitu hakipo sawa hapo dada huonekani kama upo sawa dokta naye kule sasa tunarudia Happy...Action
 
 
 Yap! Hapa mpo sawa embu ngojeni niwapige na picha za steel
 Wekeni pozi basi majamen keeee!! 
 Ahaaaaa tumemaliza kushuti kipindi cha wiki Jumamosi ijayo

 Kazi ya kurekodi huwa inakuwa ngumu jamani nashukuru nimemaliza salama tuna kila sababu ya kujipongeza kulia ndiye muongozaji mtangazaji Boniphace na kulia ni mwanabloger anayefanyia shughuli zake nchini Uingereza licha ya kuwa mtangazaji wa kituo cha tv kimoja wapo nchini humo ni mtanzania anayependa zaidia mambo ya (Current Affairs)
 
 
 Unamuona hapa alirekodi kipindi akiwa Arusha
 Kazi kubwa hadi unapokiona kikienda hewani yote ni Mapenzi ya Mungu
Kazi imeisha ndiyo tunamuona Dk Rahabu Rubago kupitia terevisioni ya Star tv siku ya Jumamosi saa 4 usiku
Si rahisi kama unavyofikiria ni kazi kubwa lakini Mungu anasaidia vinapendwa sana vipindi hivi vya Dk Rahabu na Vidonda vya Tumbo vinavyoonyeshwa kupitia televisioni ya Star tv.